Font Size
Luka 17:9-11
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 17:9-11
Neno: Bibilia Takatifu
9 Wala hutamshukuru mtumishi huyo kwa kutimiza wajibu wake. 10 Hali kadhalika nanyi, baada ya kufanya mliyoagizwa, semeni, ‘Sisi ni watumishi tusiostahili, tumetimiza wajibu wetu tu.”’
Yesu Atakasa Wakoma Kumi
11 Yesu alipokuwa akienda Yerusalemu alipitia kati ya Samaria na Galilaya.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica