Font Size
Luka 18:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 18:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mungu Atawajibu Watu Wake
18 Kisha Yesu akawafundisha wafuasi wake kwamba wanapaswa kuomba daima bila kupoteza tumaini. Akatumia simulizi hii kuwafundisha. 2 Akasema, “Kulikuwa na mwamuzi katika mji fulani. Hakumcha Mungu wala hakujali watu walikuwa wanamfikiriaje.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International