Font Size
Luka 18:1
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 18:1
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Azungumzia Tena Juu Ya Kifo Chake
18 Yesu akawachukua wale wanafunzi wake kumi na wawili kando akawaambia, “Sikilizeni! Tunakwenda Yerusalemu, na yote yaliy oandikwa na manabii kunihusu mimi Mwana wa Adamu yatatimia. 2 Akawaambia, “Katika mji mmoja alikuwapo hakimu ambaye hakumwogopa Mungu wala kumjali mtu. 3 Na alikuwapo mjane mmoja katika mji huo ambaye alikuwa akija kwake mara kwa mara akimwomba, ‘Tafadhali niamulie haki kati yangu na adui yangu.’ Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica