Font Size
Luka 18:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 18:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
5 lakini kwa kuwa huyu mjane ananisumbua na kesi yake, nitamwamulia haki asije akanichosha kwa kuja kwake mara kwa mara.”’ 6 Bwana akasema, “Mnasikia asemavyo huyu hakimu dhalimu. 7 Na Mungu je, hatawatendea haki watu wake wanaomlilia mchana na usiku? Je, atakawia kuwapa msaada?
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica