Font Size
Luka 18:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 18:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
8 Nina waambieni atahakikisha amewatendea haki upesi. Lakini je, mimi Mwana wa Adamu nitakaporudi duniani nitakuta watu wanadumu katika imani?”
Mfano Wa Farisayo Na Mtoza Ushuru
9 Yesu alitoa mfano huu kwa ajili ya wale waliojiona kuwa wao ni wenye haki na kuwadharau wengine. 10 Watu wawili walikwenda hekaluni kusali, mmoja wao alikuwa Farisayo na mwingine alikuwa mtoza ushuru.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica