Font Size
Luka 19:31-33
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 19:31-33
Neno: Bibilia Takatifu
31 Kama mtu akiwauliza, ‘Mbona mnamfungua?’ Mwambieni, ‘Bwana anamhitaji.”’
32 Wale waliotumwa wakaenda, wakakuta kila kitu kama Yesu alivyokuwa amewaambia. 33 Walipokuwa wanamfungua yule mwana- punda wenyewe wakawauliza, “Mbona mnamfungua huyo mwana-punda?”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica