Font Size
Luka 19:41-43
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 19:41-43
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Anaulilia Mji Wa Yerusalemu
41 Alipokaribia Yerusalemu, akauona mji, aliulilia,
42 akasema, “Laiti ungalijua leo jinsi ya kupata amani! Lakini sasa huoni! 43 Kuna siku ambapo maadui zako watakuzungushia ukuta na kukuzingira na kukushambulia kutoka kila upande.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica