Font Size
Luka 19:47-48
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 19:47-48
Neno: Bibilia Takatifu
47 Kila siku alikuwa akifundisha Hekaluni. Makuhani wakuu na walimu wa sheria wakiungwa mkono na viongozi wengine walijaribu kila njia wapate kumwua 48 lakini hawakupata nafasi kwa sababu watu wote waliomfuata waliyasikiliza maneno yake kwa makini na kuyazingatia. Yesu Aulizwa Kuhusu Mamlaka Yake
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica