Font Size
Luka 20:1-2
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 20:1-2
Neno: Bibilia Takatifu
20 Siku moja, Yesu alipokuwa akiwafundisha watu Hekaluni na kuhubiri habari njema, wakuu wa makuhani, walimu wa sheria na wazee walifika Hekaluni 2 wakamwuliza, “Tuambie, unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Ni nani aliyekupa mamlaka haya?”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica