Font Size
Luka 20:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 20:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
2 wakamwuliza, “Tuambie, unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Ni nani aliyekupa mamlaka haya?”
3 Akawajibu, “Na mimi nitawauliza swali. 4 Je, mamlaka ya Yohana ya kubatiza yalitoka kwa Mungu au kwa wanadamu? ”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica