Font Size
Luka 20:2-4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 20:2-4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
2 Wakamwambia, “Tuambie, una mamlaka gani kutenda mambo haya! Ni nani aliyekupa mamlaka hii?”
3 Yesu akawajibu, “Nami nitawauliza swali pia. Niambieni: 4 Yohana alipobatiza watu, mamlaka yake ilitoka kwa Mungu au kwa watu fulani?”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International