Font Size
Luka 20:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 20:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
6 Na tukisema ‘Kwa wana damu,’ watu wote watatupiga mawe kwa sababu wanaamini kabisa kwamba Yohana alikuwa nabii.” 7 Basi wakajibu, “Hatujui mamlaka yake yalitoka wapi.” 8 Yesu akawaambia, “Na mimi sitawaambia ni kwa mamlaka gani ninafanya mambo haya.’ ’
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica