Font Size
Luka 22:45-47
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 22:45-47
Neno: Bibilia Takatifu
45 Baada ya kuomba, akawarudia wanafunzi wake akawakuta wamelala, wamechoka kwa huzuni. 46 Akawauliza, “Mbona mnalala? Amkeni muombe ili msiingie katika majaribu.”
Yesu Akamatwa
47 Wakati Yesu alipokuwa bado anazungumza, pakatokea kundi la watu likiongozwa na Yuda, ambaye alikuwa mmoja wa wale wana funzi kumi na wawili. Akamsogelea Yesu ili ambusu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica