Font Size
Luka 22:63-65
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 22:63-65
Neno: Bibilia Takatifu
63 Watu waliokuwa wanamlinda Yesu wakaanza kumdhihaki na kumpiga. 64 Wakamfunga kitambaa usoni kisha wakasema, “Hebu nabii tuambie! Ni nani amekupiga?” 65 Wakamwambia maneno mengi ya kumtukana. Yesu Apelekwa Mbele Ya Baraza
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica