Font Size
Luka 8:17-19
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 8:17-19
Neno: Bibilia Takatifu
17 Hakuna siri ambayo haitafichuliwa, wala hakuna jambo lililo fichika ambalo halitajulikana na kuwekwa wazi. 18 Kwa hiyo muwe waangalifu mnaposikiliza, kwa sababu, yeye aliye na kitu ataonge zewa, naye ambaye hana, atanyang’anywa hata kile anachodhania anacho.”
Ndugu Wa Kweli
19 Wakati mmoja mama yake Yesu na ndugu zake walikuja kum wona lakini hawakuweza kumfikia kwa sababu ya msongamano wa watu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica