Font Size
Marko 13:29-31
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 13:29-31
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
29 Vivyo hivyo, unapoona mambo haya yanaanza kutokea unajua kwamba muda umekaribia na umeshafika mlangoni. 30 Ninawaambieni ukweli: Kizazi hiki hakitapita kabla ya mambo haya yote hayajatokea. 31 Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International