Font Size
Marko 13:36-37
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 13:36-37
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
36 Ikiwa atakuja ghafula, basi asiwakute mmelala. 37 Ninachowaambia, namwambia kila mmoja: ‘muwe tayari.’”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International