Font Size
Marko 14:19-21
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 14:19-21
Neno: Bibilia Takatifu
19 Wote wakasikitika. Wakamwuliza mmoja mmoja, “Ni mimi, Bwana?” 20 Akawajibu, “Ni mmoja wenu kumi na wawili, yule anayechovya kipande chake cha mkate kwenye bakuli pamoja nami. 21 Mimi Mwana wa Adamu sina budi kufa kama maandiko yasemavyo. Lakini ole wake yeye atakayenisaliti. Ingelikuwa heri kama hakuz aliwa!”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica