Font Size
Marko 14:26-28
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 14:26-28
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
26 Na wao wakaimba mwimbo wa sifa na kutoka na kuelekea kwenye Mlima wa Miti ya Mizeituni.
Yesu Asema Wafuasi Wake Watamwacha
(Mt 26:31-35; Lk 22:31-34; Yh 13:36-38)
27 Yesu akawaambia, “Nyote mtaniacha, kwani imeandikwa,
‘Nitamuua mchungaji,
na kondoo watatawanyika.’(A)
28 Lakini baada ya kuuawa, nitafufuka kutoka kwa wafu. Kisha nitaenda Galilaya. Nitakuwa pale kabla ninyi hamjafika.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International