Font Size
Marko 14:37-39
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 14:37-39
Neno: Bibilia Takatifu
37 Akarudi, akakuta wame lala. Akamwambia Petro, “Simoni, umelala? Hukuweza kukesha hata kwa saa moja? 38 Kesheni na kuomba msije mkaingia katika majar ibu. Roho i radhi lakini mwili ni dhaifu.” 39 Akaondoka tena akaenda kuomba akisema maneno yale yale.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica