Font Size
Marko 14:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 14:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
4 Baadhi ya watu waliokuwapo wali chukia wakasema, “Kwa nini anapoteza bure manukato hayo? 5 Si afadhali yangeliuzwa kwa dinari zaidi ya mia tatu na fedha hizo wakapewa maskini?” Wakamkemea huyo mama kwa hasira. 6 Lakini Yesu akawaambia, “Kwa nini mnamnyanyasa? Mwacheni! Amenitendea jambo zuri na jema.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica