Font Size
Marko 15:17-19
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 15:17-19
Neno: Bibilia Takatifu
17 Wakamvika Yesu vazi la zambarau, wakatengeneza taji ya miiba, wakamvika. 18 Wakaanza kumsalimu kwa dhihaka, “Salamu, Mfalme wa Wayahudi!” 19 Wakampiga kwa fimbo kichwani, wakamte mea mate. Wakamdhihaki kwa kupiga magoti kama vile wanamheshimu mfalme.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica