Font Size
Marko 15:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 15:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Ahukumiwa Kifo
6 Ilikuwa desturi wakati wa sherehe za Pasaka kumfungulia mfungwa ye yote ambaye watu walimtaka . 7 Wakati huo, mtu mmoja aitwaye Baraba alikuwa amefungwa gerezani pamoja na wahalifu wen gine kwa makosa ya kusababisha uasi ambapo mauaji yalitokea. 8 Basi watu waliokusanyika walimjia Pilato wakamwomba awafanyie kama ilivyokuwa desturi wakati wa Pasaka.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica