Font Size
Marko 4:25-27
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 4:25-27
Neno: Bibilia Takatifu
25 Kwa maana aliye na kitu ataongezewa, na asiye na kitu atanyang’anywa hata kile kidogo alicho nacho.”
Mfano Wa Jinsi Mbegu Inavyoota
26 Akawaambia tena, “Ufalme wa mbinguni unafanana na mtu apandaye mbegu shambani. 27 Akishazipanda, usiku hulala na mchana huamka, wakati huo mbegu huota na kukua pasipo yeye kujua inakuaje.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica