Font Size
Marko 4:26-28
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 4:26-28
Neno: Bibilia Takatifu
Mfano Wa Jinsi Mbegu Inavyoota
26 Akawaambia tena, “Ufalme wa mbinguni unafanana na mtu apandaye mbegu shambani. 27 Akishazipanda, usiku hulala na mchana huamka, wakati huo mbegu huota na kukua pasipo yeye kujua inakuaje. 28 Udongo wenyewe huwezesha mimea hiyo kuchipua, kukua na kukomaa.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica