Font Size
Marko 4:34-36
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 4:34-36
Neno: Bibilia Takatifu
34 Hakuwafundisha lo lote kuhusu Ufalme wa Mungu pasipo kutumia mifano. Lakini ali pokuwa na wanafunzi wake, aliwafafanulia kila kitu.
Yesu Atuliza Dhoruba
35 Siku hiyo, ilipokaribia jioni, aliwaambia wanafunzi wake, “Tuvuke, twende ng’ambo ya pili.” 36 Wakawaacha wale watu wakaingia katika ile mashua ambamo Yesu alikuwa amekaa. Pia palikuwa na mashua nyingine.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica