Font Size
Marko 8:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 8:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Alisha Watu Elfu Nne
8 Muda si mrefu baadaye, umati mkubwa wa watu ulikusanyika tena. Kwa kuwa walikuwa hawana chakula, Yesu akawaita wanafunzi wake akawaambia, 2 “Ninawaonea huruma hawa watu. Wamekuwa nami kwa muda wa siku tatu sasa na hawana chakula. 3 Nikiwaruhusu waende bila kula, watazimia njiani na baadhi yao wametoka mbali.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica