Font Size
Marko 8:24-26
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 8:24-26
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
24 Kipofu akatazama juu na kusema, “Ninaona watu; wanaonekana kama miti inayotembea.”
25 Kisha Yesu akaweka mikono yake tena kwenye macho ya yule asiyeona. Naye akafumbua wazi macho yake yote. Kwani alipona kutokuona kwake na kuona kila kitu kwa uwazi. 26 Kisha Yesu akamwambia arudi nyumbani, na pia akamwambia, “Usiingie kijijini.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International