Font Size
Marko 8:25-27
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 8:25-27
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
25 Kisha Yesu akaweka mikono yake tena kwenye macho ya yule asiyeona. Naye akafumbua wazi macho yake yote. Kwani alipona kutokuona kwake na kuona kila kitu kwa uwazi. 26 Kisha Yesu akamwambia arudi nyumbani, na pia akamwambia, “Usiingie kijijini.”
Petro Atambua Yesu ni Nani
(Mt 16:13-20; Lk 9:18-21)
27 Yesu na wanafunzi wake walikwenda kwenye vijiji vinavyozunguka Kaisaria Filipi. Wakiwa njiani aliwauliza wanafunzi wake, “Watu wanasema mimi ni nani?”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International