Font Size
Marko 8:28-30
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 8:28-30
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
28 Nao wakamjibu, “Yohana Mbatizaji. Wengine husema wewe ni Eliya. Na wengine husema wewe ni mmoja wa manabii.”
29 Kisha akawauliza wao, “Na ninyi; Je! Mnasema mimi ni nani?”
Petro akamjibu, “Wewe ni masihi.”
30 Kisha Yesu akawaonya wasimwambie mtu yeyote kuhusu yeye.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International