Font Size
Marko 8:32-34
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 8:32-34
Neno: Bibilia Takatifu
32 Aliyasema haya wazi wazi. Ndipo Petro akam chukua kando akaanza kumkemea. 33 Lakini Yesu alipogeuka na kuwatazama wanafunzi wake alimkaripia Petro akamwambia, “Ondoka mbele yangu, shetani! Mawazo yako hayako upande wa Mungu bali upande wa wanadamu.”
34 Ndipo akawaita wale watu pamoja na wanafunzi wake aka waambia, “Mtu ye yote akitaka kunifuata, ni lazima ajikane mwe nyewe, auchukue msalaba wake, anifuate.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica