Font Size
Marko 8:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 8:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
6 Akawaambia watu wakae chini. Kisha akaichukua ile mikate saba na baada ya kushukuru akaimega, akawapa wanafunzi wake wawa gawie watu. Wanafunzi wake wakafanya hivyo. 7 Walikuwa pia na visamaki vichache, Yesu akavibariki, akawaamuru wanafunzi wake wawagawie watu. 8 Watu walikula wakatosheka na baadaye wanafunzi wakakusanya vipande vilivyosalia wakajaza vikapu saba.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica