Font Size
Marko 8:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 8:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
7 Walikuwa pia na visamaki vichache, Yesu akavibariki, akawaamuru wanafunzi wake wawagawie watu. 8 Watu walikula wakatosheka na baadaye wanafunzi wakakusanya vipande vilivyosalia wakajaza vikapu saba. 9 Na watu waliokula walikuwa wapata elfu nne. Baada ya kuwaaga,
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica