Font Size
Marko 8:7-9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 8:7-9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
7 Kulikuwapo pia samaki wadogo wachache. Yesu akawabariki wale samaki na kuwaambia waigawe nayo pia.
8 Watu walikula na kushiba. Wakakusanya vikapu saba vilivyojaa mabaki. 9 Ilikuwa kama watu 4,000. Kisha Yesu akawaacha waende.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International