Font Size
Marko 8:8-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 8:8-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
8 Watu walikula na kushiba. Wakakusanya vikapu saba vilivyojaa mabaki. 9 Ilikuwa kama watu 4,000. Kisha Yesu akawaacha waende. 10 Mara Yesu akapanda katika mashua na wanafunzi wake, na akafika katika wilaya ya Dalmanutha.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International