Font Size
Marko 9:39-41
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 9:39-41
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
39 Lakini Yesu akawaambia, “Msimzuie, kwa sababu hakuna atendaye miujiza kwa jina langu kisha mara baada ya hilo aseme maneno mabaya juu yangu. 40 Yeye ambaye hapingani na sisi basi yuko pamoja na sisi. 41 Yeyote anayewapa ninyi kikombe cha maji kwa sababu ninyi ni wake Kristo.[a] Hakika ninawaambia ukweli kwamba, hatapoteza thawabu yake.
Read full chapterFootnotes
- 9:41 Kristo Mpakwa mafuta au masihi, aliyechaguliwa na Mungu.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International