Font Size
Marko 9:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 9:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
6 Petro hakujua aseme nini kwa maana yeye na wenzake walikuwa wameogopa sana.
7 Ndipo pakatokea wingu, likawafunika, na sauti kutoka katika wingu hilo ikasema, “Huyu ni mwanangu nimpendaye, msikilizeni yeye.” 8 Mara walipotazama huku na huku hawakuona mtu mwingine tena isipokuwa Yesu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica