Petro hakujua aseme nini kwa maana yeye na wenzake walikuwa wameogopa sana.

Ndipo pakatokea wingu, likawafunika, na sauti kutoka katika wingu hilo ikasema, “Huyu ni mwanangu nimpendaye, msikilizeni yeye.” Mara walipotazama huku na huku hawakuona mtu mwingine tena isipokuwa Yesu.

Read full chapter