Font Size
Marko 9:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 9:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
8 Mara walipotazama huku na huku hawakuona mtu mwingine tena isipokuwa Yesu.
9 Walipokuwa wakiteremka mlimani, Yesu akawakataza wasim wambie mtu ye yote mambo waliyoona, mpaka yeye Mwana wa Mungu atakapofufuka kutoka kwa wafu. 10 Wakatii agizo hilo, lakini wakawa wanajadiliana kati yao maana ya ‘Kufufuka kutoka kwa wafu.’
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica