Font Size
Matayo 1:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 1:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
5 Salmoni alikuwa baba yake Boazi na mama yake Salmoni alikuwa Rahabu. Boazi alikuwa baba yake Obedi, ambaye mama yake alikuwa Ruti; Obedi alikuwa baba yake Yese; 6 Yese alikuwa baba yake Daudi ambaye alikuwa mfalme. Daudi alikuwa baba yake Solomoni ambaye mama yake ni yule aliyekuwa mke wa Uria; 7 Solomoni alikuwa baba yake Rehoboamu; Rehoboamu alikuwa baba yake Abiya; Abiya alikuwa baba yake Asa;
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica