Font Size
Matayo 10:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 10:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
4 Simoni Mkanaani; na Yuda Iskariote ambaye baadaye alimsaliti Yesu. 5 Yesu aliwatuma hawa kumi na wawili, akawaagiza, “Msiende kwa watu wa mataifa wala msiingie mji wo wote wa Wasamaria. 6 Bali waendeeni kondoo wa nyumba ya Israeli waliopotea.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica