Font Size
Matayo 10:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 10:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
5 Yesu aliwatuma hawa kumi na wawili, akawaagiza, “Msiende kwa watu wa mataifa wala msiingie mji wo wote wa Wasamaria. 6 Bali waendeeni kondoo wa nyumba ya Israeli waliopotea. 7 Na mnapokwenda, hubirini mkisema, ‘Ufalme wa mbinguni umekaribia;
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica