Font Size
Matayo 12:13-15
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 12:13-15
Neno: Bibilia Takatifu
13 Ndipo akamwambia yule mtu, “Nyoosha mkono wako.” Akau nyoosha, nao ukapona ukawa mzima kama ule mwingine. 14 Lakini Mafarisayo wakatoka nje wakashauriana jinsi ya kumwangamiza
Mtumishi Aliyechaguliwa Na Mungu
15 Lakini Yesu akiyafahamu mawazo yao, aliondoka mahali hapo. Na watu wengi walimfuata naye akawaponya wote.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica