Font Size
Matayo 12:20-22
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 12:20-22
Neno: Bibilia Takatifu
20 Hataponda unyasi uliochubuliwa wala hatazima mshumaa unaokaribia kuzima, mpaka atakapoifanya haki ipate ushindi; 21 na watu wa mataifa wataweka tumaini lao katika jina lake.”
Yesu Na Beelzebuli
22 Kisha wakamletea kipofu mmoja ambaye pia alikuwa bubu na amepagawa na pepo. Yesu akamponya akaweza kusema na kuona.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica