Font Size
Matayo 12:21-23
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 12:21-23
Neno: Bibilia Takatifu
21 na watu wa mataifa wataweka tumaini lao katika jina lake.”
Yesu Na Beelzebuli
22 Kisha wakamletea kipofu mmoja ambaye pia alikuwa bubu na amepagawa na pepo. Yesu akamponya akaweza kusema na kuona. 23 Watu wote wakashangaa wakaulizana, “Je, yawezekana huyu ndiye Mwana wa Daudi?”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica