Font Size
Matayo 12:22-24
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 12:22-24
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Na Beelzebuli
22 Kisha wakamletea kipofu mmoja ambaye pia alikuwa bubu na amepagawa na pepo. Yesu akamponya akaweza kusema na kuona. 23 Watu wote wakashangaa wakaulizana, “Je, yawezekana huyu ndiye Mwana wa Daudi?” 24 Lakini Mafarisayo waliposikia haya wakasema, “Mtu huyu anatoa pepo kwa uwezo wa Beelzebuli, mfalme wa pepo wote.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica