Font Size
Matayo 12:26-28
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 12:26-28
Neno: Bibilia Takatifu
26 Na kama shetani anamfukuza shetani, atakuwa amega wanyika yeye mwenyewe. Basi ufalme wake utaendeleaje? 27 Na kama mimi hutoa pepo kwa nguvu za Beelzebuli, watu wenu je, wao hutoa pepo kwa uwezo wa nani? Wao ndio watakaowaamulia. 28 Lakini kama ninatoa pepo kwa nguvu za Roho wa Mungu, basi Ufalme wa Mungu umekwisha kuwafikia.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica