Font Size
Matayo 12:36-38
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 12:36-38
Neno: Bibilia Takatifu
36 “Nawaambia hakika, siku ya hukumu watu watatakiwa kujieleza kuhusu kila neno lisilo la maana walilolisema. 37 Kwa maana kutokana na maneno yako utahesabiwa haki, na kutokana na maneno yako utahukumiwa.”
Ishara Ya Yona
38 Kisha baadhi ya waandishi wa sheria na Mafarisayo wakam wambia, “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica