Font Size
Matayo 12:41-43
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 12:41-43
Neno: Bibilia Takatifu
41 Siku ya hukumu watu wa Ninawi watasimama pamoja na kizazi hiki na kukihukumu; kwa maana wao walitubu wakati Yona alipowahubiria, na hapa yupo aliye mkuu kuliko Yona. 42 Malkia wa Kusini atasimama wakati wa hukumu na kukihukumu kizazi hiki; kwa kuwa yeye alisafiri kutoka miisho ya dunia ili akaisikilize hekima ya Sulemani; na hapa yupo aliye mkuu kuliko Sulemani.”
Mafundisho Kuhusu Pepo Mchafu
43 “Pepo mchafu akimtoka mtu, huzunguka sehemu kame akita futa mahali pa kupumzika, lakini hapati.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica