Font Size
Matayo 12:44-46
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 12:44-46
Neno: Bibilia Takatifu
44 Ndipo husema, ‘Nitarudi kwenye ile nyumba yangu nilikotoka.’ Na anaporudi, anaikuta ile nyumba ikiwa tupu, imefagiliwa na kupangwa vizuri. 45 Kisha huenda na kuwaleta pepo wengine saba, wabaya zaidi kuliko yeye, nao huingia na kuishi huko. Na hali ya mwisho ya mtu huyo inakuwa mbaya zaidi kuliko mwanzo.”
Ndugu Wa Yesu
46 Wakati alipokuwa akizungumza na watu, mama yake na ndugu zake walisimama nje wakataka kuongea naye. [
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica