Font Size
Matayo 18:14-16
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 18:14-16
Neno: Bibilia Takatifu
14 Hali kadhalika, Baba yenu wa mbin guni hapendi hata mmojawapo wa hawa wadogo apotee.”
Ndugu Yako Akikukosea
15 “Kama ndugu yako akikukosea, nenda ukamwambie kosa lake mkiwa ninyi wawili peke yenu. Akikusikiliza, utakuwa umempata tena ndugu yako. 16 Kama hatakusikiliza, nenda na mtu mwingine mmoja au wawili kusudi wawepo mashahidi wawili au watatu wa kuthi bitisha jambo hilo.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica